Hali Tete kwa Morinho
Hali ya Kocha wa Manchester United imeendelea kuwa tata baada ya hii leo kupata matokeo yasiyoridhisha. Leo Manchester United ilishuka dimbani kukipiga na timu ya Stock City huku wakilazimishwa sare ya 1 - 1. Tangu msimu huu uanze imekuwa shida kwa upande wa Manchester United baada ya kuwa na kocha mwenye rekodi nzuri katika soka lakini pia wachezaji wake ambao wamesajiliwa kwa gharama kubwa hususani Pogba ambaye amevunja rekodi ya dunia lakini hadi kufikia sasa bado imekuwa ngumu kwa upande wake kubeba kikosi hiko na kudhihirisha ubora na gharama iliyotumika.
.png)

0 comments: